Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Tuesday, October 22, 2013

HAWA NDIO WASANII WA 4 KUTOKA NJE WATAKAO KUJA FIESTA MWAKA HUU 2013

Alaine
Wiki iliyopita lista ya wasanii wawili kutoka nje ya Tanzania ilitangazwa, ambao ni Alaine (Jamaica) na Davido (Nigeria) ambae alithibitisha kushuka na J Martines, sasa leo hii wasanii wawili zaidi wamethibitishwa kushuka ikiwa ni
Mohombi ambae ametangazwa leo asubuhi pamoja na Iyanya kutoka Nigeria ambae ametangazwa kupitia xxl ya Clouds Fm.

Davido
na hawa ndio wasanii wetu watakao-share stage moa na wasanii hao, Ommy Dimpoz, mwana FA na AY, Rich Mavoco, Makomando, Weusi, Lina, Shilole, Snura, Recho, Young Killer, Stamina, Country Boy, Godzilla, Cassim, Quick Rocka, Juma Nature, Ney wa mitego, Madee, Nikki Mbishi, Kala Jeremiah, Linex, 

Iyanya
Chidi Benz, Shettah, H Baba, Samir, Darasa, Afande Sele, Baba Levo, Peter Msechu, Mabeste, Mirror, Menina, Walter, Nuhu, Cliff Mitindo, Blue, Young D, Dully, Amini, Christian Bella, TID, Kala Pina, Ney Lee, Fid Q, Ben Pol, Vanessa, Chege na Temba, Diamond na Gosby.

Mohombi

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages