Mtangazaji wa E! Entetainment TV ya Marekani Terrence J ameingia Dar es Salaam usiku wa july 10 ikiwa ni ahadi aliyoitoa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ya kuwaleta wadau wa muziki ili kubadilishana mawazo na wasanii pamoja na wadau wamuziki wa Tanzania.
Terrence J leo july 12 saa 8:00 mchana atakuwa katika duka la A Novel Idea iliopo Slipway, Msasani, ambapo ataendesha kliniki ya kugawa bure kitabu chake cha “The Wealth of My Mother’s Wisdom” kwa watu 100 wa kwanza. Hivi vitabu vitasainiwa na Terrence J.
Pia kuanzia saa 2:00 usiku atakuwa katika usiku wa red carpet event ndani ya ukumbi wa Mlimani City ambapo ataonyesha filamu yake ya “Think like a man too” huku host ya show hiyo akiwa ni mwenyewe.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Friday, July 11, 2014
Home
EVENTS
LIFE OF CELEBRITIES
WHAT
TERRENCE J YUPO DAR, LEO YUPO SLIPWAY ATAKUWA AKIGAWA KITABU CHAKE. TUKUTANE HAPO
TERRENCE J YUPO DAR, LEO YUPO SLIPWAY ATAKUWA AKIGAWA KITABU CHAKE. TUKUTANE HAPO
Tags
EVENTS#
LIFE OF CELEBRITIES#
WHAT#
Share This
About DARVEL LAMAR BLOG
WHAT
Labels:
EVENTS,
LIFE OF CELEBRITIES,
WHAT
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment