Majina ya wasanii wa Afrika watakaowania tuzo za MTV Europe, MTVEMA yametangazwa na Diamond ni miongoni mwa wasanii watakaowania tuzo hizo zitakazotolewa November 9 jijini Glasgow, Scotland.
Diamond atachuana na Davido, Toofan wa Togo na Goldfish wa Afrika Kusini.
Kwa mara nyingine tena Davido anachuana na Diamond kwenye tuzo kubwa baada ya ile BET Awards
Hata hivyo mashabiki mwaka huu wamepewa fursa ya kumtaja msanii mwingine wa tano atakayewania tuzo hiyo. Wasanii sita wanaowania nafasi iliyosalia ni:
Anselmo Ralph – #NominateAnselmoRalph
Gangs of Ballet – #NominateGangsOfBallet
Mafikizolo – #NominateMafikizolo
Sarkodie – #NominateSarkodie
Sauti Sol – #NominateSautiSol
Tiwa Savage – #NominateTiwaSavage
Kura za wild card kupitia Twitter zitafanyika hadi September 14 na majina yote ya “2014 MTV EMA” yatatangazwa September 16 na upigaji kura kuanza rasmi.
Soma zaidi kuhusu tuzo hizo hapa
Katika hatua nyingine msanii huyo ameshinda tuzo ziitwazo Afro Australia Music & Movie Awards AAMMA2014 kwa wimbo alioshirikishwa na Dezert Eagle ‘Everyday kama wimbo bora wa kushirikiana.
SOURCE : BONGO 5
Post Top Ad
Your Ad Spot
Wednesday, September 10, 2014
Home
Unlabelled
DIAMOND ATAJWA KUWANIA TUZO ZA MTV EUROPE. TAZAMA HAPA.
DIAMOND ATAJWA KUWANIA TUZO ZA MTV EUROPE. TAZAMA HAPA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment