Baada ya ushindi wa Big Brother Africa 2014 kwenda kwa Mtanzani IDRIS, watu wengi wakionekana kutoa pongezi nyingi kwa kijana huyo lakini baada ya nusu saa ikawa tofauti kwa upande wa msanii Davido kutoka Nigeria baada ya kutuma status yake kwenye account yake ya Twitter kuonekana kupinga ushindi huo. Account hiyo iliandika hivi nanukuu“N they cheat again lol”Kutuma status hii tu inamaanisha kuwa hata tuzo tatu alizochukuwa msanii wa bongo fleva Diamond kumbe hakupendezwa na ushindi ule, kama ingekuwa hajapendezwa na ushindi wa Big Brother basi asingetumia neno hili la AND THEY CHEAT AGAIN. Mdau unasemaje kutokana na status ya huyu msanii Davido
Post Top Ad
Your Ad Spot
Sunday, December 7, 2014
Home
EVENTS
GOSSIP
LIFE OF CELEBRITIES
SPORTS
WHAT
DAVIDO ASHUSHIWA MATUSI YA NGUONI NA WATANZANIA KWA KAULI YAKE CHAFU BAADA YA USHINDI WA IDRIS BBA.SOMA HAPA
DAVIDO ASHUSHIWA MATUSI YA NGUONI NA WATANZANIA KWA KAULI YAKE CHAFU BAADA YA USHINDI WA IDRIS BBA.SOMA HAPA
Tags
EVENTS#
GOSSIP#
LIFE OF CELEBRITIES#
SPORTS#
WHAT#
Share This
About DARVEL LAMAR BLOG
WHAT
Labels:
EVENTS,
GOSSIP,
LIFE OF CELEBRITIES,
SPORTS,
WHAT
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment