Video: Kinachoendelea kwenye simu za watu: Clip ya Mtangazaji wa TV, Uganda akimpaka Zari The Boss Lady
Kuna clip ambayo inatembea chini chini kupitia simu za mkononi watu
wakitumiana inayomuonyesha mtangazaji wa Urban TV ya Uganda "Mary
Luswata" akimkejeli na kumpa makavu wifi/shemeji yetu kwa Diamond "Zari
The Boss Lady kwa kile kinachoonekana kuwepo kwa bif kati yao
Clip hii inaonekana iliruka katika kipindi hicho cha TV mwezi wa 9
lakini kwa Bongo ndio habari saa hii kwasababu inamuhusisha Zari ambae
ana-make headline bongo kwa sasa.
Mtangazaji huyo anaonekana akimzungumzia zari baada ya kutumwa picha ya Ngurue mtu na Zari yenye maelezo yanayosema "I was passing by n saw her lol, "Waving". iliyokuwa imepostiwa na Zari
Marry anaonekana akisema maneno haya
"Zari hii picha uliyoituma inanikumbusha wewe
kwasababu wewe na huu jamaa kama mna ngozi ya aina moja, kwahiyo
inaoneka zaidi kama wewe kuliko mimi, lakini unajua Zari una boa sana na
saa nyingine sitaki hata kugombana na wewe kwasababu levo yako ya elimu
ni ndogo sana siwezi kugombana na mwanamke mwenye umri wa kati asiye na
akili, ni kujisumbua tu na mimi nakuwa na ugomvi na watu ambao wanaweza
kuni challenge lakini wewe huwezi hata kuwasilian akwa kingereza
nawezaje kugombana na wewe....na kwa miaka hii nadhani unachotakiwa
kukifanya ni kujiangalia mwenyewe, kwasababu unalipia ngono kwa miaka
hii na huna miaka mingi kama wengine nnao wajua lakini tayari unalipa
kungonoka fikiria miaka mitano kuanzia sasa utakuwa unatumia pesa zaidi
ya sasa......kuna joke kumhusu Kim Kardashian inayosema huko chini kwake
kunaweza kufanyika tamasha la Rap lakini kwa Zari huko chini kwake
unaweza ukafanya mkutano wa umoja wa mataifa, kwasababu Tanzania imepita
pale, Nigeria imekuwa pale, South Africa washagonga pale, Uganda
ishakuwa pale namaanisha unaweza kufanya mkutano wa kimataifa juu ya
Ebola huko chini kwake." amesema mtangazaji huyo.
Angalia video hiyo kuanzia dakika ya 5:54
No comments:
Post a Comment