Baada ya mwanaume aliyedai kuwa ni mpenzi wa Huddah kujitokeza na kuupinga uhusiano wa Diamond na Zari The Boss Lady wa Uganda, Socialite wa Kenya Huddah Monroe naye ameibuka na kukana kuwa hajawahi kuwa na uhusiano na njemba huyo.
Huddah alipost ujumbe mrefu Instagram ambao baadae aliufuta, wa kuelezea jinsi alivyokutana na jamaa huyo aitwaye King Lawrence, na kudai kuwa si yeye aliyemnunulia Range Rover na walionana siku moja tu Afrika Kusini alipomuomba kupiga nae picha ambazo ndio anazozitumia kudanganya watu kuwa Huddah ni mpenzi wake.
Huddah akiwa na King Lawrence ambaye amemkana kuwa hajawahi kuwa mpenzi wake
Soma alichokiandika Huddah:
Zari naye aliscreenshot alichokiandika Huddah na kuandika: “dead!!!! Don’t play with Bossladies…. stick to your day job as a driver and stop faking a champagne life.Sent to hell on a one way ticket. RIP looser!!”
Post Top Ad
Your Ad Spot
Saturday, January 10, 2015
Home
GOSSIP
LIFE OF CELEBRITIES
WHAT
TAZAMA HUDDAH ALIVYOMCHAMBA MWANAUME ANAYEDAI HUDDAH NA ZARI NI BI***CHES, NA AMESHA WANANII. NI YULE ANAYETAKA DIAMOND AMUACHE ZARI
TAZAMA HUDDAH ALIVYOMCHAMBA MWANAUME ANAYEDAI HUDDAH NA ZARI NI BI***CHES, NA AMESHA WANANII. NI YULE ANAYETAKA DIAMOND AMUACHE ZARI
Tags
GOSSIP#
LIFE OF CELEBRITIES#
WHAT#
Share This
About DARVEL LAMAR BLOG
WHAT
Labels:
GOSSIP,
LIFE OF CELEBRITIES,
WHAT
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment