Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Tuesday, October 23, 2012

Masheikh, wamruka Ponda



  *SMZ yatishia kufuta Jumuiya ya Uamsho

Taasisi  ya Masheikh na Wanazuoni wa Kiisilamu Tanzania imesema mhemko na ghadhabu zilizoonyeshwa na kikundi cha Waislamu na kutoa mwanya wa kutendeka uhalifu wa kuchomwa makanisa eneo la Mbagala, jijini Dar es Salaam siyo mafundisho ya Mwenyezi Mungu.

Kadhalika, Taasisi hiyo imesema kwa sasa ikipata fursa ya kukutana na Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania,  Sheikh Ponda Issa Ponda, itamshauri azingatie mafundisho ya Uislam katika kufanya mambo yake.

Tamko hilo lilitolewa jana jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu wa Taasisi hiyo, Sheikh  Khamisi Mataka, alipozungumza na waandishi wa habari.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages