Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akisalimiana na mratibu wa mahusiano baina ya Global Fund na Mabunge Duniani Ndg. Svend Robinson, walipokutana kabla ya kuanza kwa mkutano wa 127 wa Chama cha Mabunge Duniani (IPU) unaofanyika Mjini Quebec, Canada.
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akimtambulisha Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania Mhe. Dr. Perpetua Nderakindo Kessy kwa Balozi wa Tanzania Chini Canada Mhe. Alex Massinda kabla ya kuanza kwa mkutano wa 127 wa Chama cha Mabunge Duniani (IPU) unaofanyika Mjini Quebec, Canada.
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akifuatilia taarifa mbalimbali na maazimio ya Mkutano wa Chama cha Mabunge Duniani (IPU) wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa 127 wa IPU Mjin Quebec, Canada. Kushoto kwake ni Balozi wa Tanzania Chini Canada Mhe. Alex Massinda na Mhe. Hamad Rashid Mohamed.
No comments:
Post a Comment