Maimartha Jesse
Aunt Ezekiel.
Habari zinadai kwamba Mai alikutwa na ishu hiyo kwa sababu hakuwa
ametoa mchango uliokuwa umepangwa kwa ajili ya kuingia kwenye sherehe
hiyo.Mai akiwa amevalia sare ya sherehe hiyo, alikataliwa getini na mlinzi ambaye alimtaka aoneshe kadi au ujumbe wa simu ‘SMS’ aliotumiwa kwenye simu yake wa kumwalika ambapo vyote hakuwa navyo hivyo kutimuliwa.
...Akicheza kibao kata
No comments:
Post a Comment