.
Vodacom imefikia hatua hiyo kutokana na Yanga kupeleka maombi yao ya kuomba kutotumia nembo hiyo nyekundu katika jezi zao, vodacom imeona ni busara kuwasikiliza Yanga hivyo kuamua kuipa nafasi ya kuchagua nembo moja kati ya hizo tatu hapo juu.
Hii ndio walipewa mwanzo.
No comments:
Post a Comment