Mchezaji Christopher Katongo ameshinda tuzo ya mwanasoka bora wa BBC kwa mwaka 2012.
Naodha
huyo wa Zambia mwenye umri wa miaka 30 amemshinda Demba Ba, Didier
Drogba, Younes Belhanda na Yahya Toure na kuwa mshindi wa kwanza kutoka
Kusini mwa Afrika katika historia ya mashindano hayo.
Orodha ya
washindani hao ilitangazwa na wataalamu wa soka Afrika, ambao
wamezingatia umahiri wa mchezaji, uwezo wa kiufundi na ushirikiano na
wachezaji wengine.
Idadi kubwa ya watu wamepiga kura kupitia njia ya
mtandao au ujumbe mfupi huku asilimia 40 kati yao wakimchagua Katongo,
ambaye anachezea timu ya China Henan Construction.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Tuesday, December 18, 2012
Home
Unlabelled
CHRISTOPHER KATONGO ASHINDA TUZO YA MWANASOKA BORA WA BBC 2012
CHRISTOPHER KATONGO ASHINDA TUZO YA MWANASOKA BORA WA BBC 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment