Mwanamitindo wa kimataifa kutoka Tanzania Flaviana Matata
ameshiriki katika kampeni za matangazo makubwa ya makampuni ya nguo ya
DIESEL na EDUN ambapo kampeni inaitwa DIESEL + EDUN ilianzishwa January
2012 na muanzilishi wa kampuni ya DIESEL Renzo Rosso na waanzalishi wa
kampuni ya EDUN Ali Hewson na Bono.
Walisafiri nchi za Uganda na Mali na kukutana na wakulima wa
pamba Afrika, waliingia makubaliano ya kutengeneza nguo maalum
zitakazotokana na pamba ya wakulima hawa wa Afrika na hivyo kuwanufaisha
moja kwa moja hawa Waafrika.
Nguo hizo zitaanza kupatikana mwanzoni mwa march katika
maduka mbalimbali nchini Marekani na sehemu nyingine duniani na hata
kupitia mitandao pia zitauzwa huku Flaviana Matata aliyewahi kuwa Miss
Universe Tanzania anabaki kuwa mwanamitindo pekee kutoka Africa
alieshiriki kwenye hiyo kampeni.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Sunday, March 3, 2013
Home
Unlabelled
PICHA YA MWANAMITINDO FLAVIANA MATATA KWENYE TWITTER PROFILE YA DIESEL U.S.A
PICHA YA MWANAMITINDO FLAVIANA MATATA KWENYE TWITTER PROFILE YA DIESEL U.S.A
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment