Wiki
kadhaa zikiwa zimepita tangu kurudiana kwa Rihanna na Chrisbrown,.sasa
huenda wakaupelekea uhusiano wao zaidi hususani kipindi hiki kwa kuwa na
familia na watoto.
Rihanna ameliambia jarida la ELLE UK kuhusu mwanzo mpya wa mahusiano yake na chris,kuhusu mipango ya kuwa na watoto anasema,
bila
shaka ntakuwa na mtoto nasali niweze kwenda mapumziko kwa mwezi mmoja
vizuri. na nimejiwekea mambo fulani hivyo sina haja ya kufanya tour
katika maisha yangu yote yaliyobaki hata kama napenda kufanya
tour.nataka afya na furaha katika miaka mitano,nataka kuwa mwenye afya
na furaha. |
Post Top Ad
Your Ad Spot
Sunday, March 3, 2013
Home
Unlabelled
RIHANNA NA CHRISBROWN WAFIKIRIA KUANDAA FAMILIA
RIHANNA NA CHRISBROWN WAFIKIRIA KUANDAA FAMILIA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment