Inaonekana Diamond amechoshwa na haters wanaosubiri aanguke kimuziki na
kumcheka, ndio maana leo hii kupitia mtandao wa Instagram, ameamua
kutupia picha inayomuonyesha anaanguka kutoka juu (angani) na kufikia
chini kwa kichwa kwenye barabara ya lami. Picha hiyo iliyokuwa na
maelezo yanayosema , "Najua hiki ndio mnachokisubiri, kwahiyo endeleeni
kusubiri" na kuwa cc ma-haters
Post Top Ad
Your Ad Spot
Thursday, July 18, 2013
Home
Unlabelled
KAMA ULIMISS PICHA NA UJUMBE WA DIAMOND KWA HATERS WAKE NDO HUU APA.
KAMA ULIMISS PICHA NA UJUMBE WA DIAMOND KWA HATERS WAKE NDO HUU APA.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.