Mmoja wa wawakilishi wa Ghana kwenye msimu wa 8 wa Big Brother Africa, Selly aliyaaga mashindano hayo siku kadhaa baada ya mwakilishi wa Tanzania, Ammy Nando kumshutumu kuwa amemuambukiza ugonjwa wa ngono (STD) pindi wawili hao walipoamua kujamiiana ndani ya jumba hilo.
Nando ameendelea kuchukizwa na ukweli kuwa ameambukizwa gonjwa hilo na amekuwa akiwaeleza washiriki wenzake bila kuficha.
“Unajua namchukia sana mal**ya huyo. Nimechanganyiwa sababu mal**ya huyo amenipa STD. Ndio maana jana blood pressure ilikuwa juu sana,” alimwambia Methiopia Bimp.
Kwa mujibu wa Nando, alitaka kutumia condom kabla ya kufanya mapenzi na Selly, lakini msichana huyo alikataa na kudai alitaka wafanye pekupeku na Nando kujikuta akikubali bila kujua angeambukizwa.
Ripoti zinadai kuwa madaktari wanaendelea kumtibu Nando ugonjwa huo wa Chlamydiae. Hata hivyo hakuna ushahidi kuwa Nando aliupata kwa Selly.
Mapenzi hayo kati ya Selly na Nando yalikuwa habari kubwa nchini Ghana kwasababu msichana anafahamika kuwa na uhusiano na Steven Fiawoo aka Praye Tiatia.
Mama yake Selly, Benedicta Galley amekiambia kipindi cha Entertainment Review cha Peace FM ya nchini Ghana kuwa huenda Nando alitumia ‘juju’ kwa binti yake kwakuwa amemlea kwenye maadili mazuri na amekuwa na uhusiano na Praye Tiatia kwa zaidi ya miaka minne.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Thursday, July 18, 2013
Home
Unlabelled
NANDO ADAI ALILAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA SELLY PEKU,NA AMEAMBKIZWA STD.
NANDO ADAI ALILAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA SELLY PEKU,NA AMEAMBKIZWA STD.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.