Wakazi wa mji wa Rjukan nchini Norway ni kati ya watu ambao wanategemea kupata jua la masika kwa mara ya kwanza katika kipindi cha masika, baada ya mji huo kutopata jua la moja kwa moja kwa miaka 100 sasa katika kipindi hicho.
Ili kuondokana na giza na baridi katika kipindi cha msimu wa ‘winter’ halmashauri ya mji huo imetumia zaidi ya pesa ya Norway kronor milioni 5 (zaidi ya billioni 1) kuweka vioo tatu vikubwa ‘heliostats’ vilivyotegeshwa juu ya bonde ikiwa ni mita 450 juu ya mji vitakavyomulika jua halisi na kumulika katika mji huo.
Helikopta zitatumika kufunga vioo hivyo na zitakuwa zikifuatilia mwenendo wa jua na kumulika mwanga moja kwa moja katika ‘main square’ ya mji wa Rjukan ili kuwasaidia wakazi wa mji huo mdogo ambao wamekuwa wakifunga safari kila mwaka kwenda juu ya mlima mrefu ili kupata joto la jua halisi.
Tazama jinsi helikopta zitakavyokuwa zikifanya zoezi hilo la kuzungusha vioo vya kumulika jua katika mji huo
Post Top Ad
Your Ad Spot
Wednesday, July 17, 2013
Home
Unlabelled
MJI WA NORWAY UUSIOPATA JUA LA MASIKA ,SASA LITAPATA JUA LA KUTENGEZEZWA HIVI KARIBUNI.SOMA HAPA
MJI WA NORWAY UUSIOPATA JUA LA MASIKA ,SASA LITAPATA JUA LA KUTENGEZEZWA HIVI KARIBUNI.SOMA HAPA
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.