Moja kati ya stori kubwa za leo Marekani inamuhusu mwimbaji Rihanna na rapper Drake ambae ni hasimu mkubwa wa CB na waliwahi kufikia hatua ya kupigana kwenye night club..
Habari za uhakika kutoka kwenye mmoja wa
crew ya Rihanna ambaye anasafiri naye kila anapoenda, ameuambia mtandao
maarufu wa udaku nchini marekani kwamba Drake na Rihanna wamerudiana,
Snitch huyo amesema Drake amekuwa anapanda ndege na kwenda kwenye nchi
ambayo Rihanna yupo mara kadhaa na ku-spend naye muda mrefu sana.
Jamaa anaendelea kutoa info kwamba Rihanna
akiwa na Drake anakuwa ni mtu mwenye furaha sana na kuna kila dalili za
hawa wawili kwenye mapenzi tena, jinsi ilivyokwa RIhanna huwa hawezi
kuficha kitu so inategemewa hivi karibuni Rihanna ataweka wazi mahusiano
yao.