Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Saturday, July 13, 2013

BIG BROTHER AFRICA:FEZA AMWAMBIA MPENZI WAKE ONEAL KWAMBA ANATAKA KUZAA NAE WATOTO

Huenda Jay (mtoto wa kiume wa Feza Kessy) anaweza kupata wadogo zake wa kucheza nao soon. Hiyo ni kutokana na mama yake anayeiwakilisha Tanzania mwaka huu kwenye shindano la Big Brother Africa ‘The Chase’ kumwambia mchumba wake raia wa Botswana, Oneal kuwa angependa azae naye watoto.
Oneza_Lrg_74d1aab9-1a24-4e1d-bbad-f477f8add475_511303175157199
Wapenzi hao waliopo Ruby House walikuwa wakiongea mipango kuhusu uhusiano wao kwenye chumba cha Rendezvous mjengoni humo.
“Please put a little thought into your answers,” anasikika Oneal akimwambia Feza.
“Natamani tungekuwa na mazungumzo haya bila kamera zozote zinazotuzunguka,” Feza alimjibu Oneal.
Lakini baadaye alimjibu, “Nataka furaha na wewe, future, nataka mahaba, nataka watoto, nataka maisha na wewe.” Hata hivyo Feza amekisema kitu kinachomkwaza toka kwa Mbotswana huyo anayefanya kazi ya UDJ nchini mwao kuwa wanapokorofishana yeye huondoka bila kuyamaliza japo amesema atajaribu kumwelewa.
“I know I am a complex man, I don’t even understand myself at times,” alikiri Oneal.
Mhhhhh!

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages