Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Monday, July 22, 2013

WAYNE ROONEY YUPO NJIAPANDA KUONDOKA AU KUBAKI MAN UNITED

Ni wiki mbili mfululizo kiungo mshambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney anamiliki vichwa vya habari kwenye ulimwengu wa soka, kuhusu suala la uwezekano wa uhamisho wake ya kwenda Chelsea. Lakini bado haijajulikana kama Rooney ataondaka au atabaki.
Rooney-Chelsea-30m
Wiki iliyopita Man U waliikataa ofa ya Chelsea ya paundi milioni 22 ili wamuongezee Rooney kwenye kikosi chake msimu ujao Hata hivyo The Blues wameliambia The Mirror kuwa wana uhakika Wayne Rooney atavaa tena jezi yao kwa dau la paundi milioni 30 ambayo wana uhakika hawawezi kuikataa.
Na sasa The Telegraph wanaripoti kuwa wanajiandaa kujikakamua tena kutangaza dau la paundi milioni 40.

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages