Kupitia ukurasa wake wa instagram Irene aliandika maneno yafuatayo:
“Ipo siku ntaongea ukweli kuhusu shigongo na ushaid pia ntatoa…usilo lijua nikama usiku wagiza, ndomaana atawadanganya wasio na akili na wasio mjua….nitapigana nae mpaka tone la mwisho la damu yangu, ntasema kila kitu kwanin ananichukia na ntaweka kila kitu waz….den wenye akili watajua naongea nin…simuogop atakama atanichafua kiasi gan…hizo kwangu ni matone yamvua bado mvua yenyewe…I don care kwaatakae muamin but mwisho wa siku ukweli utaonekana na atatamani ardhi ipasuke…… mim Irene Uwoya sijashawishiwa na mtu wala kulazimishwa naahidi ya kwamba ntaongea kila kitu btwn me n him….ehh mwenyez ? MUNGU nisaidie”
No comments:
Post a Comment