Taarifa zilizo zagaa katika mitandao mbaimbali ulimwenguni ni pamoja na uzushwaji wa kifo cha msanii maarufu nchini china jackie chan,taarifa za awali kutoka vyanzo vya habari za kimataifa Business Times na Snopes zinasema msanii huyo alifariki wakati alipokuwa akishoot movie yake ya hoax wote nchini Austria
baada ya jackie chan kusikia taarifa hizo kuwa amefariki aliamua kuandika ujumbe huu katika ukurasa wake wa facebook kwa mashabiki wake,
"If I died, I would probably tell the world!" the actor wrote. "I took a photo with today's date, just in case you don't believe me! However, thank you all for your concern. Kiss kiss and love you all!"
hii ni mara ya pili sasa kuzuka kwa kifo cha msanii huyo maarufu jackie chan baada ya ile taarifa aliyoripotiwa mwaka 2011 kutokana na shughuli zake hizo hizo za movie.
STORI NA:
DARVEL KARDASHIAN.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Wednesday, October 9, 2013
Home
Unlabelled
BREAKING NEWS: JACKIE CHAN YUPO HAI, HAJAFARIKI - SOMA HAPA ALICHOKIANDIKA.
BREAKING NEWS: JACKIE CHAN YUPO HAI, HAJAFARIKI - SOMA HAPA ALICHOKIANDIKA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment