Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Wednesday, October 9, 2013

HILI NDILI GARI LA SH. MIL 805 LINALOMILIKIWA NA MTOTO WA BAKHRESA, LIMEKUJA KWA ODA MAALUM


                             Gari aina ya Brabus ambayo inayomilikiwa na mmiliki wa klabu ya Manchester City ya England, imeonekana leo Dar es Salaam, lakini ni mali ya Yussuf Bakhresa, mtoto wa bilionea Mtanzania, Alhaj Sheikh Said Salim Awadh Bakhresa. Vyanzo vimesema Yussuf alitoa oda maalum kutengenezewa gari hili na thamani yake jumla si chini ya dola za Kimarekani 500,000 sawa na shiingi milioni 805 za kibongo.


Hii hapa mali ya Yussuf Bakhresa

Huyu jamaa ndiye anayeendesha gari la hili la mtoto wa Bakhresa

Angalia alivyotulia ndani ya mzigo wa dola 500,000

Ni oda maalum kwa ajili ya Yussuf Bakhresa 



Mwingine mwenye gari kama hii Dar es Salaam nani? 

Kutoka Manchester hadi Dar es Salaam
SOURCE: BIN ZUBEIRY

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages