Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, October 3, 2013

HII NDIO SUPRISE ALIYOFANYIWA DIAMOND SIKU YAKE YA KUZALIWA NA KIPENZI CHAKE PENNIEL


 Kila mtu anaithamini na kuipenda tarehe ya siku 
yake ya kuzaliwa,ni siku ambayo baadhi yetu huifurahia kwa
 mitindo tofauti tofauti kulingamna 

na nafasi aliyonayo mtu husika,lakini hebu
 jiulize how it feels ndani ya hiyo siku mhimu kabisa 
unapofanyiwa kitu kizuri na cha pekee na mtu
 mhimu maishani mwako,inapendeza siyo?hivyo ndivyo
 nilivyojiskia siku ya jana baada ya 
kufanyiwa suprise ya  birthday party
 na kipenzi changu,Penniel pamoja
 na Mama yangu mpenzi,dada yangu Esma,Halima kimwana 
na familia yangu kwa ujumla.
checkout picha zikijieleze zenyewe........

Ilikuwa ni baada ya kutoka kwenye 
uzinduzi wa Coke studio,kufika nyumbani 
Nikapokelewa kwa bashasha na Dada angu Queen Darlin(aliyeshikilia cake)


Dada angu Esma na mmoja wa rafiki wa familia yangu pamoja na Shilole nae alikuwep kusapoti


Baby akanisuprise kwa Kiss mwanana kabisa , like duuuh!!!

Nyakati kaama hizi mamabo ya maakuri kama hivi huwa hayakosekani

My dada,Queen Darlin

Na tuwaache washangae!!!!


Mambo yakahamia chumbani sasa . wooow!!



Kupendwa ndio huku..Mtoto wa bi Sandra mie




We call it love


Picha ya pamoja na family

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages