Rihanna (25) amethibitisha kuwa miongoni mwa wasanii wenye mkwanja baada ya kumnunulia mama yake nyumba ya kifahari kwa dola za Marekani milioni 22 sawa na bilioni 35 za Tanzania huko nyumbani kwao Barbados alikozaliwa na kukulia.
Riri ambaye hurudi nyumbani kwako kila mwisho wa mwaka kusheherekea sikukuu ya Christmas na familia ameinunua nyumba hiyo ambayo mwaka jana alianza kwa kuikodi kabla hajainunua.
Tazama picha za nyumba hiyo
Post Top Ad
Your Ad Spot
Thursday, October 17, 2013
Home
Unlabelled
RIHANNA AMNUNULIA MAMA YAKE NYUMBA YA BILIONI 35
RIHANNA AMNUNULIA MAMA YAKE NYUMBA YA BILIONI 35
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment