Ukiachana na cd, vitu vingine ambavyo vijana hao walikamatwa navyo ni Dvd player moja, solar panel (300watts), Mapanga mawili, Visu viwili, betri ya pikipiki, simu tano za viganjani,jiko la mkaa, baskeli tatu, tochi etc.
Majina ya watu waliokamatwa ni kama ifuatavyo
Watuhumiwa wote hao tayari washafikishwa mahakamani na polisi bado wanaendelea na uchunguzi kujua kama kuna makundi mengine na ninani ambaye anafadhili matukio mabovu kama haya.
No comments:
Post a Comment