Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Saturday, July 19, 2014

PENNY NA RIO PAUL WAJA NA KIPICHI CHA TV CHA AFRIKA MASHARIKI. TAZAMA HAPA.

Mambo yanazidi kumnyookea Ex wa Diamond Platnumz, Penniel Mungilwa aka VJ Penny kwakuwa licha ya kuvishwa pete na kumponya kidonda alichoachiwa na hitmaker huyo, ameendelea kupata deals baada ya deals.
10554110_876807145667620_1864140770_n
Penny akipitia script ya kipindi

Mtangazaji huyo wa redio na runinga, ataanza kuonekana hivi karibuni kwenye show inayohusu filamu za Tanzania itakayoonekana kwenye kituo cha TV cha kimataifa kinachoonekana Afrika Mashariki.
10522331_1491762561061160_1684722409_n
Penny na Rio Paul
Katika kipindi hicho, Penny atakuwa akishirikiana na mbunifu wa mitindo Rio Paul.
10483400_249627081903715_1858465348_n
926792_312772422219604_1790649254_n

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages