Mambo yanazidi kumnyookea Ex wa Diamond Platnumz, Penniel Mungilwa aka VJ Penny kwakuwa licha ya kuvishwa pete na kumponya kidonda alichoachiwa na hitmaker huyo, ameendelea kupata deals baada ya deals.
Penny akipitia script ya kipindi
Mtangazaji huyo wa redio na runinga, ataanza kuonekana hivi karibuni kwenye show inayohusu filamu za Tanzania itakayoonekana kwenye kituo cha TV cha kimataifa kinachoonekana Afrika Mashariki.
Penny na Rio Paul
Katika kipindi hicho, Penny atakuwa akishirikiana na mbunifu wa mitindo Rio Paul.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Saturday, July 19, 2014
Home
EVENTS
FASHION
LIFE OF CELEBRITIES
WHAT
PENNY NA RIO PAUL WAJA NA KIPICHI CHA TV CHA AFRIKA MASHARIKI. TAZAMA HAPA.
PENNY NA RIO PAUL WAJA NA KIPICHI CHA TV CHA AFRIKA MASHARIKI. TAZAMA HAPA.
Tags
EVENTS#
FASHION#
LIFE OF CELEBRITIES#
WHAT#
Share This
About DARVEL LAMAR BLOG
WHAT
Labels:
EVENTS,
FASHION,
LIFE OF CELEBRITIES,
WHAT
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment