Ndege ya abiria ya shirika la Malaysian Airlines yenye namba MH17 aina ya boeing 777 imeanguka katika eneo la mpaka wa Urusi na Ukraiane, na kusababisha vifo vya abiria wote 295 waliokuwemo kwenye ndege hiyo.
Mabaki ya ndege hiyo katika eneo la ajali
Ndege hiyo iliyokuwa ikitokea Amsterdam kuelekea Kuala Lumpur inadaiwa kuwa imedunguliwa na waasi.
Mashuhuda waliofika eneo la tukio hilo wamesema kuwa miili imesambaa katika umbali wa km 15.
Rais wa Ukraine alielezea tukio hilo kuwa ni tendo la kigaidi huku waasi wakikanusha kuidungua.
Ndege ya MH17 ilipokuwa ikitoka uwanja wa ndege Schiphol , Amsterdam masaa machache kabla haijadunguliwa Ukraine
Source: Daily Mail
Post Top Ad
Your Ad Spot
Thursday, July 17, 2014
Home
EVENTS
politics
WHAT
PICHA: NDEGE NYINGINE MALAYSIA YAANGUKA NA KUTEKETEA KWA MOTO NA KUUA WATU WOTE, BAADA YA KUTUNGULIWA ANGANI.
PICHA: NDEGE NYINGINE MALAYSIA YAANGUKA NA KUTEKETEA KWA MOTO NA KUUA WATU WOTE, BAADA YA KUTUNGULIWA ANGANI.
Tags
EVENTS#
politics#
WHAT#
Share This
About DARVEL LAMAR BLOG
WHAT
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment