Kampuni moja ya nchini Japan imedai kufanikiwa kutengeneza midoli ya ngono ‘sex dolls’ yenye muonekano halisi wa mwanamke ambayo huwa na ngozi ya mwili kama ya binadamu na macho kama ya ukweli.
Mdoli wa ngono
Orient Industry imesema ni ngumu kuitofautisha midoli hiyo na msichana halisi pale unapoitazama kwa mara ya kwanza.
Midoli hiyo imepewa jina la ‘Dutch Wives’, na matangazo ya midoli hiyo yanasema kuwa iwapo mwanaume akifanya nayo mapenzi hawezi kumtamani mwanamke halisi tena. Bei ya midoli hiyo ni £1,000 ( zaidi ya shilingi milioni 2.7) kwa kila mmoja.
Midoli hiyo imetengenezwa kwa kuweka viungo ambavyo vinamfanya mtumiaji kuigeuza katika position atakayo.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Tuesday, August 12, 2014
Home
LIFE OF CELEBRITIES
SEX AND LOVE
WHAT
CHINA WATENGENEZA MIDOLI YA NGONO YENYE NGOZI YA KIBINADAMU.
CHINA WATENGENEZA MIDOLI YA NGONO YENYE NGOZI YA KIBINADAMU.
Tags
LIFE OF CELEBRITIES#
SEX AND LOVE#
WHAT#
Share This
About DARVEL LAMAR BLOG
WHAT
Labels:
LIFE OF CELEBRITIES,
SEX AND LOVE,
WHAT
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment