Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Monday, November 3, 2014

FINALLY: RIHANNA AREJEA INSTAGRAM.. HIKI NDICHO ALICHOKISEMA.

Baada ya kuwa kimya kwa miezi sita, Rihanna amerejea tena kwenye mtandao wa Instagram.
10735199_865418323498640_2135625987_n
Picha ya kwanza ya Rihanna kwenye Instagram baada ya kukaa kimya kwa miezi 6
“Hellurrr #badgalback,” aliandika kwenye picha hiyo.
Akaunti yake ilisimamishwa mwezi May baada ya kupost picha akiwa mtupu kutoka kwenye kava la jarida la Ufaransa, Lui. Picha hiyo ilikiuka masharti ya mtandao huo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages