Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Monday, June 1, 2015

HIKI NDICHO DIAMOND ALICHOWAANDIKIA "UHURU WA AFRIKA KUSINI" KUFANYANAO REMIX YA #NANA . SOMA HAPA

Wimbo na video mpya ya Diamond ft. Mr. Flavour wa Nigeria imekuwa na mapokezi makubwa hata kwa mastaa wakubwa wa Afrika, ambao wamempongeza kwa wingi kupitia mitandao ya kijamii.
diamond2
Miongoni mwa mastaa hao ni pamoja na member wa kundi la Uhuru la Afrika Kusini ambaye pia ni producer, Dj Maphorisa ambaye amemuomba Diamond afanya nao Remix ya ngoma hiyo.
Dj Maphorisa ambaye ameshatengeneza hits nyingi za wasanii wengi wa Afrika wakiwemo Mafikizolo, Davido, Wizkid na Watanzania kama Linah, Madee, Chege na Temba, amepost comment aliyojibiwa na Diamond baada ya kucomment kwenye post yake ya Instagram na kuandika kuwa Diamond amekubali kufanya naye remix ya wimbo huo.
maphorisa2
Hii ndio ilikuwa comment ya Dj Maphorisa kwa Diamond
maphorisa diamond
Na hiki ndicho Platnumz alijibu:
diamond na uhuru insta

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages