Baada ya kundi la P-Square kutoka Nigeria kukanusha juu ya wimbo ‘Something About You’ uliosambaa kwenye ,mitandao hivi karibuni na kudhaniwa kuwa ni wao, mmiliki wa wimbo huo amejitokeza, anaitwa M-Kaze.
M-Kaze
Kwa mujibu wa mtandao wa 360nobs M-Kaze amesema kuwa jina halisi la wimbo wake ni ‘You be the one’ na sio ‘Something About You’ na aliutoa mwaka 2009 kutoka katika album yake iitwayo Psycho.
P-Square
Wiki iliyopita member wa kundi hilo linalotarajiwa kutua bongo mwezi ujao, Peter Okoye alitoa taarifa kwa mashabiki wa P-Square kuwa kundi lao halijatoa wimbo wowote mpya baada ya club banger yao ‘Personally’, ’Peeps pls we haven’t released any other single after PERSONALLY. Thanks’. Aliandika Peter.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Thursday, October 17, 2013
Home
Unlabelled
HATIMAYE MMLIKI WA NYIMBO ''SOMETHING ABOUT YOU'' AJITOKEZA HADHARANI BAADA YA P SQUARE KUKANUSHA KWAMBA SIO WAO
HATIMAYE MMLIKI WA NYIMBO ''SOMETHING ABOUT YOU'' AJITOKEZA HADHARANI BAADA YA P SQUARE KUKANUSHA KWAMBA SIO WAO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment